Msaada jamani ninasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume nimetumia madawa mengi kuniponyesha lakini ndio hali yazidi kuwa mbaya.
Nishatumia sana madawa ya ku boost na nyeto kwa sana lakini mpaka sasa nisha kuwa dhaifu hata niliona mazingira ya mwanamke haisimami.
Naombeni msaada jamani nateseka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.