Je, umewahi kupanda basi ukakaa kwenye siti ambayo ni maalumu kwaajili ya walemavu wakati wewe si mlemavu na wala haukuwa na ulazima wa kukaa kwenye siti hiyo? Au pengine umewahi kuona mtu asiye mlemavu akikaa kwenye siti maalumu za walemavu? Kama uliwahi kukaa ni nini kilifanya ukakaa? Au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.