Eeeh Mungu mwenye enzi yote muumba wa mbingu na nchi,wewe umesema katika maneno yako kwamba Haki uinua Taifa,tunaomba haki kwa Taifa letu la Tanzania tunajua haki yako ikisimama ee Bwana ,hakuna fisadi yoyote atakalia kiti cha ukuu wa nchii,tunaomba eeh Mungu Baba ututetee wanyonge wa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.