Mitandao ya kijamii ni eneo muhimu sana ambalo siasa ikilitumia vizuri kuna manufaa makubwa sana maana asilimia kubwa ya watanzania wanatumia mitandao mbalimbali ya kijamii na ilikuyafikia malengo hayo ingebidi siasa inahakikisha kila mtanzania mwenye miaka kumi na nane na kuendelea anatumia...
TOZO: Baada ya serikali kuongeza tozo kulitokea malalamiko mengi kwa wananchi mbalimbali kwa maana ya walionacho na wale wasio kuwa nacho ikapelekea serikali kulitazama upya na hatimae limepunguzwa kwa asilimia 30%.Sababu ya kupunguzwa ni zile kelele zilizovuma kwenye sura ya siasa sura hii kwa...
1. UTANGULIZI
Awali ya yote naomba kuwashukuru Jamii Forums kuandaa hii story of changes kwa wale watakao shiriki kila mmoja atakuwa na mtazamo wake ivyo itawapelekea jamii forum kupata mawazo mengi zaidi lakini wametoa fursa kwa watu mbalimbali kushiriki na watakao shinda basi kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.