HABARI JF, ninauza gari.
TOYOTA HILUX DOUBLE CABIN, D4D ENGINE,
MWAKA 2005, 2400CC,
AUTOMATIC TRANSIMISSION
IPO POA, HAINA TATIZO LOLOTE,
INAPATIKANA ARUSHA KWA SASA,
BEI NI 24 MILLION
MAWASILIANO; 0786 305664
KARIBUNI.
Habar JF,
Ninauza mayai ya kuku wa kisasa, makubwa, mazuri, masafi yenye ujazo. Mahali ni Arusha, Sakina.
Bei ni 6,000 kwa tray na ukiagiza tray nyingi utaletewa ulipo kwa wakaz wa Arusha.
Mawasiliano 0786-305664
Karibuni.
kiwanja kinauzwa, 800 square metres, mbezi kwa Msuguri, karibu na shule sekondari ya Msigwa. Umeme na maji vimefika. Gari linafika pia,
Bei ni 8m.
Contacts 0786-305664
habar jf,
Ninauza gari aina ya Isuzu Trooper station wagon.
Model 1993,
Manual transmission with 4WD,
ina 2700cc,
imetembea 150,000kms,
Haina tatizo lolote.
Ipo Arusha.
Bei ni 9M.
Mawasiliano 0786-305664
karibuni
Ninauza simu aina ya blackberry bold 9700, isiyo na tatizo la aina yoyote kwa bei ya shilingi laki 2 (200,000). Nipo dar, na mawasiliano yangu ni 0786 305664, karibuni.
Ninauza laptop yenye sifa zifwatazo,
Dell latitude d620,
2.2ghz dual core processor,
2gb RAM,
80GB Hardisk.
Bei 320k, laki 3 na 20
Contacts, 0786 305664
Habari,
Ninauza simu, blackberry bold 9700, nyeusi kwa shilingi za kitanzania laki mbili (200,000). Ninapatikana dar.
Mawasiliano 0786-305664. Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.