Mie sioni haja ya kuwa na hasira. Ooh! Ntarudisha kadi kwa manufaa ya nani sasa? Hivi hayo mnayowaza mnadhani wao hawajalitazama hilo??!! Wapeni nafasi ya kujieleza kwann wanampokea Lowassa !!!
Siku zote nasema "Wajinga ndo waliwao" Sidhani kama kuna jamii ya watu wapumbavu na wajinga kama ya watanzania.
Huko vijijini wakitaka Maji wanaambiwa wachange na mijitu inachekelea tu!! Halafu tunahubiriwa Uzalendo!!!
:D Hahaha!! Nilikuwa Nilikuwa Natafuta chama cha kijinga nacho ambacho kinaweza kuniguantee immunity. Sera za Mechi hii ni kula mechi kwenda mbele. Naanzisha kakampuni kangu kma kushinda na kusafirisha meno ya Tembo Halafu sirudi tupu, napakia sembe. Nlikuwa hapa mnipe majina ya wafanyabiashara...
Mimi sikatai inawezekana kweli CCM ukiwa bado ni vyama kinachopendwa.. Tatizo langu ni kwa nini wa ntakuwa na wasiwasi na hawataki kurekebisha mambo ya msingi kama Tume huru ambacho haitaipendelea hata Chadema, na Daftari la wapigakura liwe linaboreshwa mara kwa mara ili kwa vile nyie mnawapenzi...
Uzalendo haujengwi kwa CD, DVD, SANTULI wala MAWAIDHA. Uzalendo unajengwa kwa watu kuona na kufeel kuwa vitu vilivyomo katika mipaka ya ardhi ambayo mwenyezi Mungu kawapa inawanufaisha vilivyo. Rasilimali zilizopo zinasimamiwa vema na watu waliopewa dhamana kuwapatia huduma bora. Uzalendo...
Tatizo letu watanzania. Mimi ambaye siwezi kuona vyeti yake ntamjaji mtu akili yake kutokana na kauli zake na matendo yake. Kuwa wa kwanza na hiyo first class ni matokeo ya kuonyesha kuwa upstair uko vizuri. Lkn kama uko vzr na bado natoa kauli na kuwa na matendo machafu kama aliyonayo...
Kama wasomi na nyie kwenye ajili mmeona mambo ya siasa hayawahusu, waacheni wavuta bangi wachaguane. Kila msomi anakwambia hawezi siasa za Tanzania. Wanaoweza ngoja wakamsikilize mtu wa naona anawafaa
Hivi mie nashindwa kuelewa hivi demokrasia ni kuweka ukomo wa baadhi ya kwenye hali kugombea na kuwa nyuma hali ya wale wanaotaka kuwachagua. Au ni kuweka utaratibu ambao utamuwezesha kila mtu kugombea mpaka pale anatakapochoka kuchaguliwa? Kama ni lazima kuweka ukomo tuanze kwa kuviwekea vyama...
Tatizo kwa kuwa sisi sio viongozi nakwakua hatujulikani tunaweza kunyooshea engine vidole.
Asilimia kubwa ya mwanaume ni malaya. Na si kwamba wakiweka ukomo wa viongozi na kumchagua mwanamme mwingine malaya kuwa mwenyekiti ataacha umalaya.
Tuache mambo ya kijinga. Tujadili ya msingi.
Siwezi kusema sana ila ukisoma post hii utagundua kuwa huyu ni moja ya watu wanaoumizwa sana na umakini wa mtu then anakuwa anavizia vikosa vdogo ili airidhishe nafsi yake kwa kumdiscredit mtu. Ndo maana kashindwa kuona mantik zima. Inawezekana hata yeye hakusikia vzr. Kama Hekta 1 ni sawa na...
Kinachowasumbua wengi, Lema anaongea vitu ambavyo Watanzania hatukuvizoea lakini ndo sahihi. Kila sehemu ni kubembelezana tu. Kila sehemu tunataka Diplomasia na Siasa. Aaaagh:frusty:
Ndo maana tunamwona Waziri mkuu Pinda anatufaa!!!!Eti mtendaji!!! Siasa kila kona na woga wakati umeshika Dola...
Unajua hata nyumbani kwako baba ukiwapa uhuru usio na mipaka watoto wako iko siku watakuabisha mbele za watu. Huyu mtu anaitwa Zito baada ya issue ya Buzwagi aliposimamishwa na Bunge na kisha kupata umaarufu saana, akaona kumbe yeye ni maarufu zaidi ya Chadema!!! Na baada ya kuvimbishwa kichwa...
Kufaa au kutofaa kwa candidate hakufanywi kwa kuwalinganisha wagombea. Hili ndo kosa tunalolifanya Watanzania. Hatujui nini tunachohitaji na then tuangalie nani mwenye uwezo wa kweli wa kutupatia tunachohitaji katika ubora tunaotaka. Tunachofanya tunajaza tu nafasi kwa sababu zipo wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.