picha sina samahani,naamini mhitaji serious ni vizuri kwenda physically kuona kwa macho,kujiridhisha kwa majirani na serikali ya mtaa
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Wandugu
Nauza Kiwanja changu kwa bei nafuu sana. Kiwanja kipo Bunju A Mtaa wa Senzele yaani ukishuka kituo cha Bunju A Shule unatumia dakika 8 kwa bodaboda kufika eneo kiwanja kilipo. Kina ukubwa wa Hatua 35 kwa 25. Maji na umeme vipo karibu.Bei ni Tsh Ml.5,200,000/- tu
Kwa mhitaji anitafute kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.