Siyo kweli.. Mbowe alikuwa na kesi ya kuitisha maandamano yeye pamoja ba watu wengine ikiwemo aliyekuwa Mayor wa Ubungo Boniface Jacob, kilichofanyika ni kuwa walipewa ruhusa na jeshi la polisi kusafiri huku wengine wakiendelea kuripot polisi . Hivyo watu waache siasa
Taarifa y awali y jeshi la polis ilikuwa mbowe anashtakiwa kwa ugaid na tuhuma za kutaka, kuua viongozi, ila charge sheet ikaeleza kuwa alikuwa anataka kuchoma vituo vya mafuta! Huoni hii tofaut inatia doa mamlaka?
Two wrong doesn't make one wrong right.. na Kuhusu Mbowe unaweza weka unazi ndani yke ila mazingira ya kisiasa kwa sasa na tulipo toka, tulihitaji relief than any thing else.
Tatizo la ajira nchini bado halijapata ufumbuzi wa kudumu hasa kwa rika la vijana. Ila kuanzia miaka ya 2005 ujio wa vyombo vya usafiri vya bei ya wastani kama bajaji na pikipiki vimekuwa msaada wa ajira kwa vijana walio walio wengi na wanaopenda kujitafutia ridhiki kwa njia ilio halali, hii si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.