Mkuu samahani, napenda sana kujifunza kupitia maandishi yako.
Sasa kuna uzi wako ulifungua juzi hapa nautafuta tena siuoni niliishia portion ya tatu hivi, imekuaje?
Asante nishapoa mkuu, kwa sasa nipo ila kama kuna fursa sehemu yeyote nafika. Kuhusu gharama ni mpaka tukae tujue tunataka kuanza vipi na inategemea na eneo husika.
Kuhusu jina nimeshaomba kubadilisha naona moderator wanalifanyia kazi
Ni kweli tatizo sio la kuzaliwa binafsi limenianza nikiwa shule ya msingi sikumbuki ni mwaka gani na kadri siku zinavyokwenda ndo linazidi kuongezeka kwani uwezo wangu wa kusikia sasa sio kama wa miaka miwili au mitatu nyuma, na hospitali zetu kila nikienda solution yao ni hiyo hearing aid
Fundi uliyempa ndie ameweka kitambaa hicho au hicho ni original yake? Kama ndio hivyo yalivyo sasa inatosha kwa picha. Kiti kimoja kubadilisha kitambaa na vifaa unavyo ni 50000 kwahiyo ni laki moja kwa hivyo viti viwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.