Huo apo ni mfano wa mfumo wa kugeuza mayai,mfumu huo unabeba mayai 350,fikiria baada ya siku 21 una vifaranga 350 au ata zaid kwa jinsi utakavyopenda kutengeneza mashine yako
Niaje kuku farm inakukaribisha wewe mfugaji mdogo na wa kati mwenye ndoto za kukuwa kwa speed nzur na kupata faida kwenye ufugaji wako katika mafunzo ya utengenezaji wa mashine za utotoleshaji(incubators)yatakayo anza tarehe 01/03/2021,
-Mwisho wa mafunzo haya utaweza kujitengenezea mashine za...
Kesho ndo tunaanza masomo yetu,tukishaanza itabidi kusitisha usajili kwanza mpka darasa hili limalize,kama wajua thaman ya muda changamkia elimu hii leo ili siku 21 zisiwe mbali sana,karibuni wajasiriamali wenzangu
Acha kukariri maisha nduguyangu inakuwaje unawaza negative tu,i'm just me keeping it real Mimi sio Mr kuku na sioni kosa langu kujaribu kutimiza wajibu kwa wale wenye uhitaji, think big, start small, start now
Mo
Mode wameiweka apa, this is more of huduma,na kweli kuna mpka watu wamenipigia simu kunitisha na Wengine kunikatisha tamaa kwa aina mbalimbali tena watanzania wenzetu sijui kwann tunakuwa negative sana yaan,imagine incubator ya mayai 60 mtu anakuuzia 250k-350k tena nyingi ni imported ambayo...
Siko ivyo mkuu, angalia number email na ata izi social pages mkuu ni legit google location pia niko open,na hii sio biashara ninayofanya biashara kuu apo ni mayai na kuku kutumia jina na address iyo iyo,mkuu wangu sio utapeli bali elimu tu kuwafungulia najianda wajasiriamali wenzangu,changamoto...
Siko ivyo mkuu, angalia number email na ata izi social pages mkuu ni legit google location pia niko open,na hii sio biashara ninayofanya biashara kuu apo ni mayai na kuku kutumia jina na address iyo iyo,mkuu wangu sio utapeli bali elimu tu kuwafungulia njia wajasiriamali wenzangu,changamoto za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.