Inawezekana kiwanja kipo chamsingi alitakiwa akumbie kigamboni sehemu gani pia alitakiwa akutajie na bei japokua sio vizuri kutangaza biashara juu ya biashara.
Kiwanja kiwanja kinauzwa nusu heka, ukita hatua unakatiwa kiasi kulingana na bajet yako tunakata kuanzia milion 5 kwendelea, nusu heka bei ni 18 kuna nyumba ndani haijaisha,Maeno ya Kigambo kabla ya mradi wa NHC Dege kiwanja kiko barabarani kwenye barabara ndogo sio ya lamami ya vumbi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.