Recent content by Network Engineer 2

  1. N

    SoC02 Hali ya maisha isikukatishe tamaa kusaka elimu

    Naitwa Network Engineer, mzaliwa wa Wilaya ya Iringa. Nilizaliwa mwezi Agosti mwaka 1989 mama yangu akiwa nyumbani kwa bibi kwakuwa walikuwa hawajaoana na baba. Malezi yangu na mama yangu yalikuwa mikononi mwa bibi yangu. Nilipokua kidogo mama alibahatika kuolewa na baba mwingine (baba mlezi)...
Back
Top Bottom