Habari JFers
Natumai nyote muwazima.
Ninapatikana DAR ES SALAAM.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kununua Toyota GX 110 Grand iliyotumika kutoka kwa MMILIKI ( na si dalali). Bajeti yangu ni TZS 3,000,000 tu.
Sizingatii namba ya gari, nitakachozingatia ni GARI KUWA KATIKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.