BAJETI,USTAWI WA JAMII
Na Emmanuel Ndaki
0747093133
DIRA na mwelekeo wa nchi inahusisha makadirio,mapato na matumizi,yaani tunategemea kusanya kiasi gani, tunatumia kiasi gani kujenga miundombinu ya uchumi na huduma za kijamii.
Makadirio,makusanyo na Matumizi inamuhusisha mlipa kodi,haijalishi...