Recent content by Namwene

  1. N

    Mrejesho: Vipimo vinaonesha sitoweza kuzaa, kama kuna msaada tafadhali

    Hili tatizo na mm linanitesa jamani NAOMBENI mwenye kujua dawa mm mwaka wa nne Sasa
  2. N

    Naomba msaada wa tiba ya tatizo la kutotungisha mimba

    Habari wakuu wa JamiiForums, naombeni msaada wenu kwa moyo wa dhati. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35. Nimekuwa nikihangaika sana kutafuta mtoto. Natamani sana kuitwa baba, lakini mpaka sasa ni mwaka wa tatu tangu nioe, na bado hatujabahatika kupata mtoto. Baada ya kuona hali hiyo, mimi...
Back
Top Bottom