Situmii sabuni wala mafuta yoyote usoni na hii ni kwasababu nilkua na ngozi ya mafuta ambayo nikipaka mafuta yoyote nakua na chunusi ivo niliamua kuto kupaka kitu chochote usoni
Samahani nilikua naomba kuuliza ngozi yangu ya uso ni ya mafuta lakin na shangaa nina kama wiki ivi ngozi yangu imebadilika na kua kavu na yenye mikunjo na mabaka kwa mbali sina mafuta hata kidogo na sikuwai kutumia kipdozi chochote nataka kujua ni tatizo gani linasababisha ivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.