Recent content by Mzaliwaa

  1. M

    SoC02 Elimu bora kwa matunda ya taifa la kesho

    Elimu ni ujuzi ambao mtu au mlengwa hupatiwa kwa lengo la kumtoa kutoka katika umasikini wa fikra kwenda katika ubunifu na uzalishaji wa mawazo ulio bora katika kuleta maendeleo baina yake na jamii inayomzunguka. Elimu inayotolewa nchini ni bora lakini sio bora zaidi kwa sababu ina mapungufu...
  2. M

    SoC02 Utawala Bora katika kujenga taifa lenye maendeleo na uchache wa migogoro

    Utawala ulio bora hujengwa kwa vitu viwili muhimu ambavyo ni MFUMO na WATU ambao ndio viongozi walio katika utawala. Mfumo ni mpangilio wa jinsi jambo au mambo yatakavyofanyika na Watu ndo husimamia, huendesha na kutekeleza mambo yaliyo ndani ya mfumo. Pia watu ndio watekelezaji wakuu wa...
Back
Top Bottom