Ni kweli unachosema.... Ila kama hatuwezi kuacha ndio maana tunajilinda! Vip waliopo kwenye ndoa na wanapata maambukizi nao waache tendo la ndoa, Yeyote anaweza kuambukizwa Maana matendo ya mtu anayajua mtu mwenyewe!
Vema KUJILINDA
Habari wakubwa,
Nimekuja kwenu nipate ushauri, maana kichwa kinawaka moto.
Mimi ni mtumiaji wa kondomu miaka 6 sasa sijapiga dry.
Jana nilikuwa nasex na bidada nikiwa na kondomu zangu 3 mpyaa (DUME).
Mwanzo mpaka mwisho kondomu ilikuwa uumeni mpaka nakojoa, (nilitumia kondomu 3 ya mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.