Ua la Faraja riwaya iliyoandikwa na William.E. Mkufya mwaka 2001. Katika makala haya najadili kwa ufupi jambo moja tu linalojitokeza zaidi kuanzia kurasa wa 356 mpaka 364.
Kusudi la makala haya ni kubainisha namna ukoloni mambosasa unavyoziathiri nchi za Kiafrika ikiwamo Tanzania na kujaribu...
"Niliyesimama mbele yenu siyo mbunge ni msanii
Natumia sanaa kuitetea jamii
Naongea nikiwa Bongo sitakimbia kama Roma
Mkiniteka mkinifunga bado dunia itasonga"
(Ney Wamitego, 2021)
‘Ney Wamitego –True boy’ ni Mwanamuziki wa kizazi kipya ambaye ukiachana na jina lake hilo la kisanii, jina lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.