Recent content by Mwambola

  1. M

    Shiling ya enzi hizo

    Uchumi wetu hauko sawa kwani hatuuzi bidhaa nyingi nje ya nchi na badala yake tunanunua bidhaa nyingi kutoka nje. Hali hii inasababisha shilingi iyumbe. Wakati umefika sasa kujizatiti kuwa na uchumi unaweka msisitizo kwenye kuuza nje bidhaa na huduma (Export oriented economy)
Back
Top Bottom