Uchumi wetu hauko sawa kwani hatuuzi bidhaa nyingi nje ya nchi na badala yake tunanunua bidhaa nyingi kutoka nje. Hali hii inasababisha shilingi iyumbe. Wakati umefika sasa kujizatiti kuwa na uchumi unaweka msisitizo kwenye kuuza nje bidhaa na huduma (Export oriented economy)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.