Kama mada isemavyo juu mara ya kwanza nimetuma ujumbe huo lakini bahati mbaya sijaweza kuona ushauri wenu naombeni msaada nimekua nasumbuliwa na tatzo la UCHUNGU SEHEMU YA JUU YA MDOMO YAANI ROOF OF THE MOUTH hasa asubuhi na mchana
Ila nikila pipi unaiisha ua nikila chakula unaisha ila kwa...
habari kingozi mimi nimetuma ujumbe wa kuomba ushauri kuhusu SEHEMU YA JUU YA MDOMO kuwa mchungu ila cha kushangaza article hiyo kwangu haionekani wala nikiifungua naambiwa invalid sasa naomba unisaidie ili niweze kuiona kwani nataka ushauri kutoka wa wanjamiiforums kwani nasumbuliwa na uchungu...
Habari wapendwa,
Napenda kuuliza na naomba msiidie nimekua na uchungu saana sehem ya juu ya mdomo sasa nakaribia mwaka na tatizo hilo kiasi cha kunifikirisha saana,tatazo lenyewe hua linatokea kuanzia asubuhi mpka jioni usiku hua hakuna,, uchungu unatapakaa mdomoni ila unapotokea ni hapo sehem...
Pole kwa tatizo kiongozi,,mimi mwenyewe ninasumbuliwa na tatizo kama lako,,lkn pia nimeku PM, but upo kimya unaweza kutia inbox yako ya jamii forums tukajua tunashauriana vip kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.