Poleni na majukumu. Wadau nahitaji fremu ya biashara maeneo ya mwenge na makumbusho stendi, au mitaa iliyochangamka yenye mzunguko wa watu sana kama shule, makanisa,hospitali n.k Aliye na channel hiyo anisaidie tafadhariii
Habari wadau....naomba mwenye kujua sehemu ninayoweza kununua vifaa vya keki kwa bei rahisi ya jumla nifanye biashara hiyo.Mwenye kujua msaada anijuze plzz. Vifaa mbalimbali kama vya kuchsnganyia, vya kupambia keki n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.