Recent content by mum ake

  1. M

    Wapi naweza pata Vifaa vya keki kwa bei rahisi.

    Wanauza kwa bei za jumla pia?...
  2. M

    Wapi naweza pata Vifaa vya keki kwa bei rahisi.

    Nashukuru ubuntuX. Mi nawaza vinapopatikana kwa jumla ili nifanye ujasiriamali huo.
  3. M

    Natafuta frem ya biashara maeneo

    Poleni na majukumu. Wadau nahitaji fremu ya biashara maeneo ya mwenge na makumbusho stendi, au mitaa iliyochangamka yenye mzunguko wa watu sana kama shule, makanisa,hospitali n.k Aliye na channel hiyo anisaidie tafadhariii
  4. M

    Wapi naweza pata Vifaa vya keki kwa bei rahisi.

    Habari wadau....naomba mwenye kujua sehemu ninayoweza kununua vifaa vya keki kwa bei rahisi ya jumla nifanye biashara hiyo.Mwenye kujua msaada anijuze plzz. Vifaa mbalimbali kama vya kuchsnganyia, vya kupambia keki n.k
Back
Top Bottom