Habari!
Nimefanya punyeto kwa miaka 15 sasa, mimi wakati wa kufanya tendo la ndoa na mwanamke baada ya bao la kwanza nachukua muda mrefu kwa bao lingne na pengine ninakua sijiskii kabisa.
Je nifanyeje ili kumridhisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.