Kuna muda inakupa wakati mgumu kujua kama wako Serious.
Yametokea Mafuriko Rufiji, wakatuma Kada wao akawadanganye Wana Rufiji kudai dida, alichokipata hawatakisahau.
Yametokea mafuriko Arusha, Mlimba etc hawajawahi hata kusema neno, wameendelea kuhamasisha watu waache kazi watembee...
Ikiwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ni Mnyenyekevu, Mtu mwenye hofu ya Mungu na anaheshimu lila mtu bila kujali Itikadai.
Tuwaombee Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, RAS, DAS na wengineo wanao hudumia Watanzania huku chini waige mfano wa Mkuu wa Nchi, Waige mfano...
Sijasifu vyote mkuu, nimekupa mfano tu namna uboreshaji wa miundo mbinu ilivyo, Serikali imeboresha hospital za Rufaa, hospital za Kanda, Mikoa, Wilaya na Vituo vya Afya kwenye kila kata, maboresho haya yamehusisha ujenzi na ukarabati wa majengo, ununuzi wa magari ya magonjwa, ununuzi wa vifaa...
Serikali ya awamu ya sita inafanya kila kitu kuhakikisha Taifa linasonga, Angalia namna huduma za Afya, Shule, etc zinavyoboresha..endelea kuisapoti Serikali def_xcode
Ni muhimu vijana kuwa Wazalendo, Tanzania ni yetu wala sio ya Wakenya, Tanzania itajengwa na Watanzania tu.
Vijana ni muhimu kusimama na Serikali yenu, Hakuna kiongozi yeyote ambaye anafanya mambo Kurudisha nyuma nchi yetu.
Serikali iliyopo iko kwa mujibu wa katiba, Ina kibali cha Mwenyezi...
Hakuna aliyeleta mafuriko, Serikali ya awamu ya Sita iko nanyi kuhakikisha kila mtu anapata huduma za kibinadamu.
Kama tulivyokuwa wamoja Rufiji, tuko pamoja Arusha pia.
Badala ya kusmbaza chuki, tusambaze upendo, Kule Arusha hakuna JNHPP.
Poleni wana Arusha , poleni Wana Rufiji kwa mafuriko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.