Si kila tajiri amesoma na si kila maskini ndivyo alivyopangiwa na Mungu bali utajiri hupatikana kwa jitihada za mtu katika maisha yake haijalishi hujaingia darasani ila una nini kichwan kwako? Hivyo basi hata umaskini hutawala maisha yetu kwakuwa wazemne na watu wenye fikra fupi katika kutafuta...
Maisha ya wanadamu hupangwa na Mungu ila kijituma na kutokata tamaa ndo msingi wa mafanikio kwa mwanadamu, Katika kijiji kimoja alikuweko kijana aliyeitwa Amour, Amour alikuwa na umri wa miaka 15, KIjana huyu hakuwa na elimu ya darasani lakini Mungu alimbariki Hekima, Ucheshi na Busara kwa kila...
Ni katika kijiji kidogo kilichopo kusini mwa nchi ya Tanzania ambapo shughuli za kilimo na ufugaji zikiwa ndizo shughuli mama zaidi katika eneo lile ambapo msingi mkuu wa shughuli hizo ukiwa ni ardhi ambapo kwa neema za Mungu eneo hilo lilijaaliwa kuwa na rutuba ya kutosha kwaajili ya mazao ya...
Ni katika hoteli moja ya kifahari katika jiji ambapo wapenzi wawili waliopendana sana walikuwa wakivinjari maisha yao kwa kuponda raha kedekede zilizoakisi uwezo wao wa kifedha uliotokana na mishahara minono waliyoipokea mwisho wa mwezi.
Wapenzi hao wawili ambapo mmoja alikuwa ni daktari na...
Lengo haswa ni kujipa changamoto vijan ili tuwez kupambana kuwa viongozi bora zaidi na zaidi kwa msaada wa viongozi bora wasasa ambao ni kam wazaz wetu katika swala zima la uongoz
Dhamira Dhamira Dhamira
Marudio ama msisitizo huakisi juu ya umuhimu wa jambo,dhamira ni hitaji kuu na lengo katika kila hatua ambayo kijana huichukua katika kuyaendea mafanikio.
Je, ni ipi dhamira yako kwako,kwa familia yako na kwa nchi yako?
Je ni ukweli? Uongo? Ama dhamira ya kujenga ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.