Mimi ni kijana wa miaka 25. Nilianza mchezo wa kujichua tangu nikiwa na miaka 14, tangu kipindi hicho nimekuwa pia mdau mkubwa wa kutizama picha za ngono.
Kitendo hicho kilichodumu kwa zaifi ya miaka kumi kimenipelekea kuwa na madhara makubwa katika mwili wangu hususan katika viungo vya uzazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.