Recent content by Messijoh

  1. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Wacha niongeze bidii kwenye kunywa maji
  2. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Vyote natumia ratiba yangu ya kuoga ni mara mbili kwa siku
  3. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Swali gumu kiasi kwangu labda wewe useme gharama zako
  4. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Nitafanyia kazi ushauri huu shukrani sana
  5. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Asante kwa ushauri huu, nami ndio nimehisi nahitaji tiba ya aina hii, pa kuanzia nikaona nijaribu hapa
  6. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Asante sana nimekaribia, wapi namuonea uyo mtaalam
  7. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Shukrani sana nitafanya hivi J3
  8. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Labda nipake kwa miezi mingapi mana nishafanya hivo
  9. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Nanyoa vizuri sana, deodarant nilikuwa napaka nivea, mwanzoni inakuwa fresh tabu inakuja pale ambapo nimetokwa na jasho harufu ikajichanganyana nayo
  10. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Sivuti sigara wala pombe sinywi, labda nijitahidi kunywa maji mengi,
  11. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Nitafuata huu ushauri wako
  12. M

    Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

    Nishapaka lakini bado labda nipake kwa mda gani ??
Back
Top Bottom