besti hembu tumia akili kidogo tuu sio nyingi kiasi cha kufaulu PHD yako... kiwanja cha ukubwa huo kigamboni dege, kwa bei ya mil 4 kiwe na hati? bu mtu hapo juu kwamba nyaraka ni za serekali za mitaa.. labda kama huelewi haya mambo ya hati unafikiri unavyoona wewe ni sahihi.. utapeli upo iwapo...
Ukubwa wa kiwanja ni mita 25 kwa 30, kipo dege kigamboni, unaweza kulipa kwa awamu kama huwezi kulipa yote kwa pamoja, kwa mawasiliano zaidi piga 0767098760.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.