Wakuu habari. Natumaini ni wazima wa afya.
Nna kijana wangu anasumbuliwa na gono na amepata matibabu mapema na kama liza dozi. Lakini halia ake bado ni ngumu haileti matumaini. Ushauri wenu jamani..ipi njia nyingine ya kufanya aweze pona .Na dWa alizo tumia ni cefixeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.