MBISERE POULTRY FARM
Ni mzalishaji wa vifaranga chotara wa kuku .( wanapatikana kwa idadi yeyote)
Ni kuku wanaovumilia magonjwa.
- Wantaga mayai mengi.
- Wanastahimili magojwa.
Vilevile vifaranga wa kanga wapo
- Bata mzinga
- Bata bukini
- vifaranga wa Malawi,yellow Bufon,Izrael...
MBISERE CROSSBREEDING
Ni Wauzaji na wasambazaji wa vifaranga na mayai, pia tunatoa huduma ya utotoleshaji wa mayai.
Tunauza vifaranga wa
Izarel
Malawi
Croiler vifaranga wa nyama
Broiler
Pia bata mzinga, bata bukini , kanga na njiwa tausi wanapatikana kwa idadi yoyote, tupo Arusha Tengeru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.