Wyatt,Asante kwa maelezo yako namaulizo yako mazuri hizo njia ulizosema zimetika lkn kwangu kupitia utafiti nilofanya nakubaini Mfumo mzuri kimauzo ninalo labda tuonane.ama niongee na nawenzangu
Wyatt,Asante kwa maelezo yako namaulizo yako mazuri hizo njia ulizosema zimetika lkn kwangu kupitia utafiti nilofanya nakubaini Mfumo mzuri kimauzo ninalo labda tuonane.ama niongee na nawenzangu
Ndiyo maana nikaamua kutimiza NDOTO zangu kwakuanzisha kampuni yausambazaji filamu ila ili lengo lauzarishashi litimie tunahitaji kupata msaada mkubwa kutimiza hilo,niseme Asante kwa ushauri ila tunahitaji msaada kuiokoa tasinia hii kampuni hii iko serious juu ya hili ndugu,dikir,
Nakujibu ndugu dikir kab can 1,Uandaaji wa cnema nighari sana tukimaliza tukawa na ile master mkononi Unaipeleka sokoni nipesa kiduchu sana tunapewa hata mtaji wetu mkubwa tulijaribu kuendelea kuuza kwa mategemeo yapengine soko litabadirika lkn wapi?
Habari zenu Ndugu zangu naitwa innocent ninajambo nahitaji msaada kimawazo mie nimkongwe kwenye tasinia ya uandaaji wa filamu ninakampuni iliyosajiriwa hii kampuni nimalengo yangu ya miaka iliyopita miaka mitatu iliyopita nilisimamisha kuproducer lengo kufanya utafiti kimya hasa soko linataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.