Asante nimeona sababu za kifua kuuma lakini nimefanya cherck up ya Moyo ECG na ECHO nikaambiwa sina tatizo la moyo lakini bado napata maumivu na kichwa kina vurugu nyingi sana kama sio mimi yaani siwezi kupanga ratiba ya mambo yangu kabisa naomba ushauri wako namba 0754418184
Dr naomba msaada wako mapigo ya moyo yako juu nahisi vidonda vya tumbo gesi inapanda mpaka kifuani nahema kwa shida kifua kitabana na kuuma mpaka gesi itulie kichwa kama kina wenge na kizunguzungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.