Recent content by Marjo Mlekwa

  1. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Inategemeana unatoa hela unampa nani na kwa Sababu gani.. haupaswi kuwa mbahili kupitiliza coz inaweza ikakujengea tabia ya uchoyo
  2. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Hellow Dears.. Nashukuru sana kwa namna mnavyoendelea kuvote... Nazidi kuwakaribisha wengine pia kunipigia kura... Jinsi ya kufanya ni kwenda hadi Chini ya hiyo story Yangu then utakutana na Neno Vote utabofya hiyo alama ^.. karibu pia kwa maoni na ushauri...
  3. Marjo Mlekwa

    SoC01 Magonjwa ya Afya ya akili yanatibika, vunja ukimya

    Iko poa sana mkuu.. umetufungua wengi.. tunasubiri hizo makala nyingine ili tuzidi kufahamu mengi juu ya afya ya akili.. tembelea na kwangu pia tuweze kusapotiana.. kwako nimeshavote https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-zingatia-mambo-haya-utafanikiwa-haraka.1893752/page-2#post-39785791
  4. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Ni kweli kabisa... Lakini hatutakiwi kushindwa.. kwa sababu hiyo ni miongoni mwa njia kubwa za kukufikisha Kwenye mafanikio uliyoyatarajia... Na utayafikia endapo utasimamia kile unachokiamini bila kuyumbishwa na mtu au kubadilishwa fikra zako... JIFUNZE KUSEMA HAPANA SIMAMIA MALENGO NA NDOTO ZAKO..
  5. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Karibu kwa maoni rafiki.. zaidi NAOMBA sana kura yako.. sehemu ya kupiga kura iko chini ya andiko langu utoana neno Vote na alama ^ wewe utabofya tu hiyo alama na uhakikishe namba ya kura imeongezeka... Asante sana...
  6. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Hapo Kwenye nguvu ya kutoa ni mada pana kidogo kama nilivyosema hapo juu, but tunachopaswa kujua ni kwamba kutoa si lazima uwe na kingi hata unapotoa Kweny kile kidogo ulichonacho kwa moyo wa kupenda na kwa imani ndipo unapobarikiwa na kufanikiwa zaidi, lakini pia kutoa si lazima iwe pesa, kama...
  7. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Yes... Kuna nguvu kubwa Kwenye kutoa.. na waliofanya hii njia wana ushuhuda mkubwa..
  8. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Jifunze Zaidi kutoa kuliko kupokea.. itakusaidia sana Rafiki... Ni njia ngumu.. ila ndio imebeba mafaniko mengi zaidi..
  9. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Yes.. ni njia nzuri sana ya kufikia Mafanikio.. na wengi wanafahamu hilo sema ni ngumu sana kuifanyia kazi.. na hapo ndipo tunapofeli wengi..
  10. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ifahamu OSINT - Open Source Intelligence na umuhimu wake kwa sekta binafsi Tanzania

    Safi... Tembelea na kwangu.. support ni muhimu Mkuu https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-zingatia-mambo-haya-utafanikiwa-haraka.1893752/
  11. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri kwa Serikali kuhusu jinsi ya kukabiliana na tozo kubwa za miamala

    Safi mkuu.. ila jitahidi kuhakiki andiko lako zaidi kabla ya kulipost maana kuna maneno mengine hayako sahihi.. tembelea na kwangu pia kwako nimevote https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-zingatia-mambo-haya-utafanikiwa-haraka.1893752/
Back
Top Bottom