Recent content by maritaangel

  1. M

    JamiiForums Tanzania biashara ya ubuyu wa zanzibar #ujasiliamali aliye tayari aniunge

    Zanzibar hakuna mibuyu sijjua wanaichukua wapi lakini nadhani ni dodoma,sina uhakika ila ni mitamu sana ukitofautisha na ya hapa dsm sijajua kipi kinatiwa lakini kiladha nitofauti sana na ya kawaida
  2. M

    JamiiForums Tanzania biashara ya ubuyu wa zanzibar #ujasiliamali aliye tayari aniunge

    Habari zenu ndugu zangu,nimemaliza degree ya procurement and supply,kutokana na ugumu wa ajira kua ngumu nimeamua kujiingiza katika biashara,ninachukua ubuyu zanzibar na kuuza hapa dar es salaam na mikoani pia ninaituma kwa anaehitaji! Kg1 ni 3500, kindoo cha lita 10 ni 35000, kiglasi kikubwa...
Back
Top Bottom