Mkuu hii issue imewahi kunikuta kwa mtoto niliyempeleka hospitali flani. Alifanyiwa CT scan kwa maelekezo ya daktari wa hospitali A kwa kigezo kwamba ya kwao imeharibika. Gharama zilikua kubwa na kwa uwezo wa Mungu tukalipa. Tumeleta CD daktari mwingine anasema hawezi kuisoma kwa hiyo tukarudie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.