Mkuu hii issue imewahi kunikuta kwa mtoto niliyempeleka hospitali flani. Alifanyiwa CT scan kwa maelekezo ya daktari wa hospitali A kwa kigezo kwamba ya kwao imeharibika. Gharama zilikua kubwa na kwa uwezo wa Mungu tukalipa. Tumeleta CD daktari mwingine anasema hawezi kuisoma kwa hiyo tukarudie...
Unaijua ya shangazi yenu Supuka wa bunge butu? Ile ambayo shoga ake bibi wa Vikoba alimgawia baada ya kuuza bandari akaenda kuipokelea pesa Moroco ili aje afanye finishing.
Vyote vipo google kama hivyo
5W-30 VS 10W-30
Oil ya 10W–30 inakua nzito kunapokuwa na baridi. Kulingana na mapendekezo ya API (1) kwa injini za magari, unaweza kutumia oil ya 10W–30 ikiwa kiwango cha juu cha joto kinachotarajiwa nje ni zaidi ya -18°C (0°F).
Ikiwa unaishi katika eneo ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.