Swali zuri sana hili
Kwanza hii simu alikua anatumia Wife
Mimi nina kawaida ya kuupgrade simu baada ya muda fulani, yaani nabadilisha simu mimi na wife ili kujipongeza na kitu kipya
Kwa sasa hii haitumiki tena hivyo lazima Niuze
Swali zuri sana hili
Kwanza hii simu alikua anatumia Wife
Mimi nina kawaida ya kuupgrade simu baada ya muda fulani, yaani nabadilisha simu mimi na wife ili kujipongeza na kitu kipya
Kwa sasa hii haitumiki tena hivyo lazima Niuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.