Recent content by Mahimbocom

  1. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tutumikiane kwa unyenyekevu

    Wanatawala Kwa ubinàfsi kias hawamuogopi hàta Mungu. Jamii ibadilike kimtazamo na kuwa tunu Kwa Taifa kwà viongozi kuwa wanyenyekevu
  2. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tudumishe Kiswahili kwa maendeleo endelevu na nyenzo ya kudai haki

    Mimi nimemuelewa hivi, mara nyingi tunashindwa kutambua na kupigania hàki zetu kwa kutofahamu lugha za kigeni zinazotumika. Hatujui hàki katika mikataba ya kazi, utakuta mkatabà umeandikwa kiingereza, unaweza ukasaini usichokijua na kujikuta unajididimiza
  3. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tudumishe Kiswahili kwa maendeleo endelevu na nyenzo ya kudai haki

    Endapo hili là kuwapà mkopo kwa watakaosoma kiswahili elimu ya chuo, hakikà tutakuwa na wataalamu wengi sàna sàna. Kazi nzuri.
  4. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Ajali za magari barabarani nchini Tanzania na athari zake katika maendeleo

    Hakuna adhabu stahiki zinazoçhukuliwa kwa wavunja Sheri, kujuana na rushwa zinapelekea ukosekanaji wa uwajibikaji makazini.
  5. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Jicho la Wataalamu wa Elimu katika Mtaala wa Elimu

    Lazima tubadilike katika sekta ya elimu, tuliowapa dhamana wawe na tija. Kazi iendelee
Back
Top Bottom