Recent content by machululu

  1. M

    DOKEZO Walinzi Kampuni ya Asgard Security hatujalipwa mishahara kwa miezi miwili, tukifuatilia uongozi unatishia kutufuta kazi

    Hatuna chama chochote cha kutetea maslahi ya wafanyakazi, boss anasema na wao hawajlipw na kampuni ambazo tunazosimamia
  2. M

    DOKEZO Walinzi Kampuni ya Asgard Security hatujalipwa mishahara kwa miezi miwili, tukifuatilia uongozi unatishia kutufuta kazi

    Mimi ni Askari wa ulinzi kutoka Kampuni ya Asgard Security Company Limited yenye ofisi zake makao makuu Kinyerezi DSM, malalamiko yangu ni kuwa hatujalipwa mishahara yetu wa miezi miwili na ninawawakilisha Wafanyakazi wenzangu kadhaa wa malindo ya nje. Kwamba suala la kulipwa limekuwa...
Back
Top Bottom