Bara la Afrika kwa kipindi kirefu sasa pamekuwa pakikabiliwa na tatizo au baa la njaa japo kuwa nchi za Afrika ni wazalishaji wa mazao ya chakula kwa asilimia kubwa yaani uti wa mgongo wa uchumi wa nchi za Afrika umekuwa ukitegemea katika kilimo.Ni jambo la aibu sana kwa nchi za Afrika pamoja na...
Upo umuhimu mkubwa sana wa kubadilishwa mfumo wa elimu ya hapa nchini Tanzania kutokana kwa asilimia kubwa kutokidhi mahitaji ya jamii ya Watanzania wengi. Kwa kawaida elimu ya hapa nchini Tanzania imekuwa ikianzia kuanzia chini mpaka elimu ya juu, yaani shule za awali, shule za msingi, shule za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.