Kiwanja cha makazi na biashara kinauzwa.kipo dodoma kisasa B center.kina mita za mraba 846.kina hati.na kibali cha ujenzi.tayari kina msingi mkubwa wa mawe tupu.Ni eneo hot cake kwa wanaojua dodoma.Bei mil 70.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau ninauza gari tajwa hapo juu ya mwaka 2000.gari halina tatizo lolote na haijawah kua na tatizo lolote.
Mimi si dalali ni mali yangu.niliagiza mwaka 2013 dec.na imekua mikononi mwangu na chini ya uangaliz wangu muda wote mpaka sasa.
Inafanyiwa service kwa wakati na ina km laki na sabini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.