Mbona mnanisakama kama kuna mwenye uhakika kuwa ni mimi mwenye hlo gonjwa? toeni ushauri ila acheni kuhisi, yawezekana ni mimi lakini sivyo mnavyofikiria
Ameshaenda na kupima kipimo cha VDRL lakini hakuambia ugonjwa, aliambiwa damu chafu na kupewa PENADU ya kuchoma kila wiki kwa wiki tatu na kufanya hivyo lakini pia huyo ndugu anatokwa jasho kwa wingi kwenye nyayo za migu na viganja vya mikono, baada ya kutumia ile penadu, ila jasho ikakata kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.