Inategemea, kama ni screen printing, heatpressing au Kudarizi. Bei hutegemea na Ukubwa wa Art work yako, Design unayotaka ifanyiwe kazi na Idadi (ya Nguo/Kofia/Vikombe n.k)
Mashine ya Kudariz na Heat Press ndo Bei Kidogo. Ila Ukiwa na Kama 5M Unapata Kila Kitu. Karibu Mkuu Ukiwa tayari hata kwa kuanza na Heat Press na Screening sio mbaya coz hata mimi nilianzia huko ambako cost haizid 2M.
Asante, Upo Mkoa Gani? Mimi Baadhi ya Vitu niliagiza nje, nilinunua Amazon almost nusu ya vitu ila Printers hasa Hizi Epson nilinunua hapa hapa DSM kariakoo. Karibu sana kwenye Biashara Hizi
Salaam wana JF.
Mimi Ni Muajiriwa katika kampuni fulani, kwa Muda wangu wa ziada najishughulisha na shughuli za Kuprint na Kudarizi T shirts Mashati N.K. Kwa sasa nafanyia shughuli zangu nyumbani tu na nna pokea Oda ndogo na kubwa za Kazi.
Nna mashine za kisasa za Kuprint na Kudarizi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.