Recent content by laturu

  1. L

    JamiiForums Tanzania Toyota Verossa

    Ulishamiliki Verossa kumbe! Nipe experience yako juu ya uimara wa verossa na mapungufu yake.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Toyota Verossa

    Asanteni wakubwa...nimeona hiyo engine size ya mark x hadi mwili ukasisimuka mafuta yake sitayaweza. Kwani Verossa ina mapungufu gani? Nisaidieni maana gari nimeioenda kwelikweli ila siwezikurupuka kuinunua bila kupata ushauri kwa wazoefu.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Toyota Verossa

    Mkuu Subaru Legacy zipo za aina tatu..Legacy B4, Legacy Lancaster na Legacy Touring Wagon..ipi unaimaanisha?
  4. L

    JamiiForums Tanzania Toyota Verossa

    Wakubwa habari zenu? Jamani ninataka kununua Verossa..ila sijui kama ni gari imara ama vipi? Naombeni munipe uzoefu wenu kuhusu hizi gari.
Back
Top Bottom