Natafuta nyumba ya kupanga, iwe na Chumba Kimoja cha kulala, kikubwa cha kujitosheleza, Sebule, Choo na bafu vya kujitosheleza kiukubwa,sio vilivyobanwa sana. Jiko kubwa kiasi la kujitosheleza, kuweka maji,vyombo kiasi na chakula. Madirisha yawe yenye makubwa ya kuingiza na kutoa hewa ya...