Habari wadau,nilipost Uzi kuhusu mwanangu wa Miaka 4 ambae nilieleza kuwa haongei,ni kupiga makelele tu,ana sifa zifuatazo.
1. Anasikia ila ukimuita hakuangalii Wala hashituki,lkn ukiweka mziki asioupenda mfano kwenye simu ama TV ana kasirika na kukufuata au kukupa rimoti au simu uongeze sauti...
Hatoi udenda ,ila dalili zingine ni hizi
1. Hata baba Wala mama hawajui
2. Anachekacheka baadhi ya miezi
3. Hata ukimpungia mkono wa byebye kama watoto wengine hawez ku reply
4. Yuko busy muda wote hatulii sehem Moja
5. Jina lake halijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.