Hiyo security deposit wakati utakapoona huduma hutoitumia tena inarudishwa kwako. Au ikitokea mwezi mambo yako hayaenda vizuri ukashindwa kulipia basi itatumika sehemu ya hiyo ya 240000/=
Mteja atatakiwa kunipatia
Majina yake
Namba yake ya Voda
Alternative namba
NIDA/Voter ID/Leseni ya Udereva
TIN
email
Mteja akikamilisha hivyo vitu itatengenezwa kitu kinaitwa V-akaunti ambayo itampa access mteja kupata vifurushi hivyo nafuu.
ANGALIZO, hakuna pesa itaombwa kulipia huduma...
Ni bure boss wangu, hiyo security utakaposema huduma uhitaji tena inarudi kwako mkuu. Labda itokee uliskip mwezi hukulipa itajazia kwenye deni lako. Bado huoni kuwa device ni bure??
Karibu, jukumu langu ni kukuunganisha na mfumo ili upate hizo package. Zoezi linakamilika ndani ya muda mfupi sana.
Mahitaji ni Majina yako, TIN, Namba ya Voda na Namba ya ziada, Email. Pamoja na namba za NIDA.
Whatsapp/Call/Msg 0795790411.
Au kama upo karibu na unahitaji face to face...
Karibu, jukumu langu ni kukuunganisha na mfumo ili upate hizo package. Zoezi linakamilika ndani ya muda mfupi sana.
Mahitaji ni Majina yako, TIN, Namba ya Voda na Namba ya ziada, Email. Pamoja na namba za NIDA.
Whatsapp/Call/Msg 0795790411.
Au kama upo karibu na unahitaji face to face...
Shukrani. Lakini pia naweza kukupatia huduma ya kukuunganisha M2M ili ufurahie gharama nafuu zaidi za vifurushi. Mfano Gb 30 kwa elfu 30 TU kwa siku 30. Kama si wewe hata ndugu unaweza kumuunga hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.