Habari zenu ndugu na majaa, mimi nauza kiwanja changu kipo Kigamboni Mwongozo kina ukubwa wa eneo ni sqm 1345 kipo sehemu nzuri pia ni karibu na bahari, umbali kutoka baharini mpaka kwenye kiwanja ni km 1 pia kipo karibu na Mradi wa National House na NSSF.
Bei ni tanzania shillingi millioni 26...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.