Recent content by kichwamaji3234

  1. kichwamaji3234

    SoC02 TEKNO MAARIFA: Simu Janja yako ni Ofisi yako

    usijali mkuu ni suala la muda tu
  2. kichwamaji3234

    SoC02 TEKNO MAARIFA: Simu Janja yako ni Ofisi yako

    Inawezekana mkuu...nami pia ndio osifi yangu
  3. kichwamaji3234

    SoC02 Kilimo cha Pilipili Kichaa (Dhahabu nyekundu) kinavyonipa pesa bila kutarajia

    WEWE JAMAA ...inaonekana kama umeandika makala so unaponda za wengine ili watu wakupigie KURA WEWE KWENYE MAKALA YAKO....ACHA ROHO MBAAAYAAA ROHO YA KOROSHO unakuwa MCHAWI HUKU BADO KIJANA....KAMA UMEANDIKA MAKALA YA KUELIMISHA WATU WATAKUPIGIA KURA TU...Usiponde stories za watu wengine. ACHA UCHAWI
  4. kichwamaji3234

    SoC02 TEKNO MAARIFA: Simu Janja yako ni Ofisi yako

    Karibu Tujadili Matumizi ya Simu kama Ofisi
  5. kichwamaji3234

    SoC02 Kilimo cha Pilipili Kichaa (Dhahabu nyekundu) kinavyonipa pesa bila kutarajia

    Kuna mijitu siku zote wameumbwa kukatisha watu tamaa, kwani kakulazimisha uamini....andika nawewe story Yako...hii nguvu ya kupinga better ungetunga story yako
  6. kichwamaji3234

    SoC02 TEKNO MAARIFA: Simu Janja yako ni Ofisi yako

    1. Utangulizi Binafsi nimeanza kumiliki simu ya mkononi mwaka 2005, naikumbuka vizuri simu hiyo ilikuwa ni kutoka kampuni ya Motorola ndogo ndogo hivi yenye rangi ya Bluu na Nyeusi. Tangu nilipoanza kumiliki simu ya mkononi nilikuwa najiuliza mara kwa mara iwapo matumizi ya simu ni kupiga...
Back
Top Bottom