Kuna jambo halijaeleweka hapa. Ni kweli Tanzania ilizalisha chakula cha ziada, lakini kutokana na njaa kubwa iliyokumba nchi zote zinazoizunguka Tanzania -- DRC, Kenya, Somalia, Sudan, etc -- chakula hiki cha ziada chote kiliuzwa na wafanyabiashara wajanja kwa nchi hii kupitia mipakani. Kutokana...
Watu wengi wanamuelewa vibaya Shy-Rose lakini ukimfuatilia kwa makini ukaacha mambo ya udaku yanayoandikwa dhidi yake na magezeti uchwara ya Tanzania utaona huyu ni mtu makini sana. Najua baadhi ya watu hawawezi kuona hili jambo beyond habari za udaku zinazoandikwa dhidi yake. Lakini kwa ufupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.