Bila slaa kugombea urais hiyo saccos ya mbowe ingekufa na lowassa asingeipenda akainunua kwa mabilion hivyo kumnunulia nyumba slaa ni sawa tu tena alitakiwa anunuliwe ndege ninyi malofa nini?
Kwa mtanzania mwenye akili timamu na zilizotimilika lazma ajiulize maswali jinsi ninavyojiuliza mimi:
How come Lowassa atumie hela nyingi sana kuutafuta urais,
Katumia mabilioni akiwa ndani ya ccm kuutafuta urais na bado kuingia ukawa Katumia mabilioni pia,
Je ikulu kuna nini sana sana mpaka...
Kwa mtanzania mwenye akili timamu na zilizotimilika lazma ajiulize maswali jinsi ninavyojiuliza mimi:
How come Lowassa atumie hela nyingi sana kuutafuta urais,
Katumia mabilioni akiwa ndani ya ccm kuutafuta urais na bado kuingia ukawa Katumia mabilioni pia,
Je ikulu kuna nini sana sana mpaka...
Chifu A, Chenge nakuombea kwa mungu akubariki endelea kuchapa kazi Bariadi inahitaji maendeleo na siyo majungu! wewe ni mbunge wa vitendo na maendeleo umefanya mengi jimboni kwako ambayo hayakuwepo kipindi cha nyuma usikatishwe tamaa na watumwa wa mawazo ya wachaga, Bariadi inakuhitaji kuliko...
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee...
Wazee wa maandamano kweli nyinyi ni waongo sana mnawezaje kudanganya umma kwa jambo ambalo sio la kweli narudia kusema mzee chenge aka chenge na maendeleo hakuwa na mkutano mwakibuga wala hakusimama hapo sasa huu uongo kama wa viongozi wenu wa UKAWA umetoka wapi? Kumbuka wananchi wanahitaji...
Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.